Kiharusi (kwa Kiingereza stroke) ni ugonjwa unaoleta hali ya mwili kupooza kutokana na matatizo kwenye mishipa ya damu inayolisha ubongo.
Katika tiba kiharusi ni upotevu wa uwezo wa ubongo unaoendelea haraka. Sababu yake ni tatizo katika mishipa inayopeleka damu kwenda ubongo.
Matatizo hayo ni ama kuzibwa ama kupasuka kwa mishipa ya damu. Seli za ubongo hufa haraka zisipopata oksijeni na lishe ya kawaida ambayo yote haya hufika kwa njia ya damu.
Kiharusi ni hali ya dharura inayoweza kutibiwa kama ...
Soma zaidi katika WikipediaAndika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa