Muhogo (Kiing. cassava) ni mmea wa jenasi Manihot na chakula muhimu katika Afrika, Amerika Kusini na nchi za Asia Kusini. Sehemu ya kuliwa ni hasa viazi vyake (mizizi minene au mahogo) vilivyo na wanga nyingi halafu pia majani yake yenye protini na vitamini.
Kuna aina kadhaa za muhogo zinazotofautiana hasa katika kiwango cha sianidi (cyanide) ndani yake. Sianidi ni sumu inayoandaliwa ndani ya mmea kwa umbo la kemikali linamarin. Linamarin hubadilika kuwa sianidi.
Viwango vya sianidi vinatofautiana ...
Soma zaidi katika WikipediaAndika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa