Maguguchawi ni mimea ya jenasi Striga katika familia Orobanchaceae iliyo vimelea. Guguchawi ni jina la jumla la spishi za Striga. Spishi kadhaa zina majina mengine, kama kakindu, kichaani, kichawi dume na kidevu cha mbuzi.
Mimea hii humelea manyasi hasa lakini spishi nyingine humelea jamiikunde. Mizizi yao ipenya mizizi ya mmea mlisha ili kuifyonzea maji na madini. Kwa hivyo inaweza kuleta hasara kubwa mashambani kwa muhindi, mtama, mwele, mkunde n.k.
S. asiatica, Kichawi Dume
Soma zaidi katika WikipediaAndika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa