Mtopetope ni mti mdogo wa familia Annonaceae. Matunda yake yanayolika huitwa matopetope. Spishi hii huitwa mtomoko pia, lakini tafadhali jina hili litengee kwa Annona cherimola. Mti huu una maua madogo njanokijani yenye petali nene. Matunda yana umbo wa donge na rangi ya majani hadi manjano yakiwa yaliyoiva. Nyama ni nyeupe yenye ladha tamu. Mbegu nyeusi ni kubwa kiasi.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa