Mfiwi (Phaseolus lunatus) ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa fiwi. Asili ya mfiwi ni milima ya Andes na Amerika ya Kati. Siku hizi mimea hii hukuzwa mahali pengi katika maeneo yaliyo na joto wastani.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa