Mswaki au msuake ni majina ya miti mbalimbali wa familia Salvadoraceae, lakini spishi kuu iitwayo majina haya ni Salvadora persica. Spishi nyingine ni Dobera glabra na D. loranthifolia zinazoitwa msega na mkupa pia. Miti hii inatokea maeneo makavu ya Afrika na Mashariki ya Kati na hadi Uhindi. Vitawi vya miti hii hutumika kama brashi ya meno na huitwa mswaki pia.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa