Mfiwi mafuta au mnjahe (Lablab purpureus) ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa fiwi mafuta au njahe (kutoka na Kikikuyu: njahĩ). Mfiwi mafuta ni mmea wa Afrika unaokuzwa mahali popote katika ukande wa tropiki siku hizi.
Soma zaidi katika WikipediaAndika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa